Michy Batshuayi anaonekana kushinda kumshawishi kocha Antonio Conte ili atumike na badala yake kocha Antonio Conte anatajwa kumhitaji mshambulijai mwengine wa kuweza kuchukua nafasi ya Batshuayi ambapo sasa anatajwa kumtaka Boakye mwenye miaka 24 ambaye mpaka sasa ameshaichezea klabu yake hiyo michezo 14 na kufunga magoli 15.
Lakini pia Chelsea ilikuwa inatajwa kumuwania mshambuliaji wa Celtic, Moussa Dembele ingawa mpango huo unaonekana kutokuwa katika mwendelezo mzuri.

No comments:
Post a Comment