DAVID LUIZ NA VICTOR MOSES WASHINDANA MAZOEZINI - Darajani 1905

DAVID LUIZ NA VICTOR MOSES WASHINDANA MAZOEZINI

Share This
Nyota wa Chelsea, Victor Moses na David Luiz walikuwa wakishindana wakiwa mazoezini ambapo walikuwa wanaangalia ni nani mwenye uwezo mkubwa katika kulenga na kupiga. Na safari hii walikuwa wakishindana je ni nani atakayegongesha mwamba kwa kupiga mipira kumi. Angalia ni nani aliibuka kuwabingwa kwenye shindano hili.

No comments:

Post a Comment