Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vinaripoti kwamba Chelsea imepunguza kasi katika mbio zake za kuwania saini ya mshambuliaji wa RB Leipzig, Timo Werner.
Sababu inayotajwa kwa Chelsea kupunguza kasi ya kumnasa nyota huyo ni kutokana na Liverpool kutajwa kama chaguo la karibu kwa nyota huyo kujiunga nayo.
No comments:
Post a Comment