Chelsea yazidi kumsogelea Higuain - Darajani 1905

Chelsea yazidi kumsogelea Higuain

Share This

Chelsea ipo tayari kutoa paundi milioni 70 ili kumsajili mshambuliaji raia wa Argentina, Gonzalo Higuain

Taarifa zinaeleza kwamba Chelsea ipo tayari kumpa Higuain mkataba wa miaka mitatu na mshahara wa euro milioni 7.5 kwa mwaka.

Usajili huo utakuwa wa mabadilishano, wakati Higuain mwenye miaka 30 anakuja Chelsea, Alvaro Morata anaenda Juventus

No comments:

Post a Comment