HAZARD KWENYE UBORA WAKE - Darajani 1905

HAZARD KWENYE UBORA WAKE

Share This
Raia wa Ubelgiji ambaye ni nyota wa Chelsea, Eden Hazard amefanikiwa kuingia kwenye kikosi bora cha Ulaya kwa mwaka 2017 akipigiwa kura kwa kupitia mtandao wa Uefa.com ambao upo chini ya chama cha soka barani Ulaya.

Hongera kwako Eden Hazard

No comments:

Post a Comment