JE UNAHISI DAVID LUIZ NI MTAALAMU KWENYE MAPISHI? ANGALIA HII - Darajani 1905

JE UNAHISI DAVID LUIZ NI MTAALAMU KWENYE MAPISHI? ANGALIA HII

Share This
Hapa nimekuletea moja ya matukio ambayo huenda hukuwai kuyaona ama kuyafikiria, umewaona Gary Cahill, David Luiz na Nathan Ake ambaye kwa sasa yupo klabuni Afc Bournemouth wakiwa uwanjani wakisakata kabumbu. Lakini je vipi maisha yao nje ya soka? umewai kuyaona au kuyafahamu?

Au nikuulize uliwai kufikiria kama watakuwa wana ufundi pia katika suala zima la maakuli? yani katika mapishi? je unajua David Luiz ubora wake sio uwanjani tu, yani mbrazili huyu mpaka kwenye maswala ya mapishi yupo kwenye ubora wa hali ya juu.

Hapa nimekuletea video ya nyota hao wakishindana katika maswala mazima ya kutoa shavu, katika maswala ya upishi na kushughulika kwenye upishi na upikaji ambapo tukio hili lilifanyika mara baada ya kumalizika msimu wa 2016-2017 ambapo Chelsea waliibuka kuwa mabingwa na kwenda barani Asia kujiandaa na msimu mpya.



No comments:

Post a Comment