Zimebaki dakika kadhaa kuanza kwa mchezo wa ligi kuu Uingereza kwa upande wa wanawake ambapo Chelsea itakuwa ugenini kupambana dhidi ya vigogo wenzao wa Mama site (Man city), mchezo huo unaanza saa 02:30 jioni (saa 15:30). Hapa nakuletea kikosi cha Chelsea kitakachoshuka katika mchezo huo.
Hapa Darajani 1905 nitakuletea matokeo ya mchezo huo na msimamo wa ligi utakavyokuwa mara baada ya mchezo huo.
PLW; MJELDE, JI SO-YUN WAANZA KATI-MAN CITY vs CHELSEA
Share This
Tags
# Chelsea Habari
# Chelsea Ladies
Share This
About Darajani 1905
Chelsea Ladies
Labels:
Chelsea Habari,
Chelsea Ladies
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment