Nyota huyo mwenye miaka 18 ameiongoza vyema klabu ya vijana katika ligi kuu Uingereza kwa vijana akicheza michezo yote ya mwezi huo aliifungia Chelsea goli moja kati ya magoli 4-0 dhidi ya klabu ya vijana ya Manchester united, lakini pia akiisaidia Chelsea katika mchezo wa nusu fainali la kombe la Checkatrade.
Wachezaji anaoshindana nao katika tunzo hizo;
- Marcus Browne-West Ham
- Tyrese Campbell-Stoke city
- Lewis Hardcastle-Birmingham
- Tahith Chong-Manchester united
- Lewis Walker-Derby County
No comments:
Post a Comment