Manchester City wako tayari kujiunga na Arsenal na Chelsea Arsenal
wana mpango wa kumsaini mlinzi wa Chelsea David Luiz, 30. (Daily
Express)kumatafua wing'a wa Crystal Palace Wilfried Zaha, 25. (Daily
Mirror)
Arsenal wanaweza kutoa ofa ya pauni milioni 25 kwa mBrazil huyo mwezi Januari. (Sun)
Real Madrid wako kwenye mazungumzo na mchezaji wa Chelsea Eden Hazard, 26.
Mchezaji
wa safu ya kati wa Real Madrid Marco Asensio, 21, amekiambia klabu hiyo
kuwa ataondoka ikiwa Hazard atajiunga nacho (Diario Gol,kupitia Daily
Star)
DAVID LUIZ KUONDOKA CHELSEA
Share This
Tags
# Chelsea Usajili
Share This
About Darajani 1905
Chelsea Usajili
Labels:
Chelsea Usajili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment