Dujon Sterling jana aliiongoza vyema Chelsea U18s kupata ushindi mnono wa mabao 6-0 dhidi ya Fulham U18s iliyokuwa nyumbani, ambapo Sterling aliingia kama mchezaji wa akiba na kufanikiwa kufunga goli la mwisho na kukamilisha ushindi wa mabao hayo yaliyoifanya klabu hiyo kufanikiwa kufudhu kucheza nusu fainali mara tisa katika miaka tisa ya kombe la FA.
Hapa nakuletea video ya nyota huyo alipofunga goli lake hilo.
No comments:
Post a Comment