Hayahaya, likizo ya majira ya baridi ya ligi kuu Uingereza imeshaisha kwa nyota wa Chelsea na sasa wamerejea kwenye mazoezi mepesi ya kujiweka sawa kabla ya kuanza mazoezi ya kawaida ya kujiandaa na mchezo muhimu unaokuja mbele ambapo Chelsea itakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Man utd siku ya tarehe 17-Februari majira ya saa 23:00 (EAT).
Home
Chelsea FC
Chelsea Habari
Likizo ya Ligi kuu ishaisha kwa Chelsea, yarejea mazoezi kujiandaa dhidi ya Man utd
Likizo ya Ligi kuu ishaisha kwa Chelsea, yarejea mazoezi kujiandaa dhidi ya Man utd
Share This
Hayahaya, likizo ya majira ya baridi ya ligi kuu Uingereza imeshaisha kwa nyota wa Chelsea na sasa wamerejea kwenye mazoezi mepesi ya kujiweka sawa kabla ya kuanza mazoezi ya kawaida ya kujiandaa na mchezo muhimu unaokuja mbele ambapo Chelsea itakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Man utd siku ya tarehe 17-Februari majira ya saa 23:00 (EAT).
Tags
# Chelsea FC
# Chelsea Habari
Share This
About Darajani 1905
Chelsea Habari
Labels:
Chelsea FC,
Chelsea Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
❤❤💪💪viva chama langu la chelsea tunawakilisha vema
ReplyDelete