Mara baada ya Chelsea kutajwa sanakatika kipindi iki cha usajili ambapo imekuwa ikihusishwa wachezaji wake kutakiwa na klabu kadhaa barani Ulaya huku kukiwa bado sintofahamu, sasa klabu hizo zimetupa ndoano kwa kocha wa Chelsea, Antonio Conte.
Klabu za Bayern Munich na Paris St.Germain au PSg zinatajwa kumuwania kocha Antonio Conte mara baada ya kupendezwa na mafanikio yake katika msimu wa kwanza akiifundishwa Chelsea ambapo aliisaidia kutwaa taji la ligi kuu Uingereza huku pia ikicheza fainali ya kombe la FA.
Kocha Antonio Conte amekuwa pia akihusishwa kujiunga na klabu kadhaa nchini Italia ambapo ndipo alipotokea akija Uingereza, klabu za nchini humo za AC Milan na Inter Milan zote zinatajwa kumuwania.
CONTE NAYE ATAKIWA NA VIGOGO ULAYA
Share This
Tags
# Chelsea Usajili
Share This
About Darajani 1905
Chelsea Usajili
Labels:
Chelsea Usajili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment