
Huku mchezaji mwingine Andreas Christensen ataukosa mchezo huo kutokana na majeruhi aliyoyapata wakati Chelsea wakimenyana na Bournemouth katika dimba la Stamford Bridge.

Chelsea wanawafuata Watford ambao wana rekodi mbaya dhidi yao ambapo wamecheza mechi 13 bila ya ushindi dhidi ya chelsea huku wakipata droo 3 na kuambulia kichapo katika mechi 10 za mashindano yote.
Mara ya mwisho kwa Watford kupata ushindi ilikua tangu september ya mwaka 1999 wakishinda nyumbani 1-0.
No comments:
Post a Comment