PL; KIKOSI CHA CHELSEA DHIDI YA WATFORD - Darajani 1905

PL; KIKOSI CHA CHELSEA DHIDI YA WATFORD

Share This

Chelsea leo itakuwa ugenini kupambana dhidi ya Watford katika uwanja wa Vicarage Road, ambao unatumiwa na klabu hiyo iliyomtimua kocha wake Marco Silva na sasa wana kocha mpya Javi Gracia.

Kuelekea kwenye mchezo huo, hapa nakuletea kikosi cha Chelsea kitakachomenyana dhidi katika mchezo huo unaotimiza wiki ya 26 ya ligi kuu Uingereza.
Kipa; Thibaut Courtois
Walinzi; Cesar Azpilicueta | David Luiz | Gary Cahill (c)
Viungo; Zappacosta | Kante | Bakayoko | Moses
Washambuliaji; Eden Hazard | Pedro | Willian

Wachezaji wa akiba; Caballero, Rudiger, Emerson, Drinkwater, Hudson-Odoi, Giroud

No comments:

Post a Comment