Thibaut Curtois atimiza Mechi 150 Huku akishikilia rekodi. - Darajani 1905

Thibaut Curtois atimiza Mechi 150 Huku akishikilia rekodi.

Share This
Ni Mchezaji pekee  anayeshikilia rekodi Ya mchezaji wa Chelsea aliyekua kwA mkopo kupambana na timu hio ambapo alifanya hivyo Mwaka 2014 Kwenye nusu fainali Ya UEFA Champions League (klabu bingwa barani ulaya)  wakati alipokua akiichezea timu Ya Atletico MADRID Ya nchini Hispania.


Alhamisi Ya wiki hii Kwenye Mechi dhidi Ya bunley, mchezaji  wa Chelsea Thibaut Curtois alitimiza Mechi 150 za mashindano yote Tokea atue Chelsea 2011 akitokea Genk Ambako anachezea MTanzania Mohammed Ally Samata.

Thibaut Curtois amepata mafanikio Binafsi na kitimu baada Ya kutwaa tunzo mbalimbali na makombe kama:- 
Kombe LA Ligi 2014/15
Ligi kuu Ya England Mara mbili 2014/15 na 2016/17
Mchezaji bora wa ubelgiji anayesakata kabumbu nje Ya mipaka 2013
Goli kipa bora wa Mwaka nchini Ubelgiji 2011
Kipa bora wA Ligi kuu Ya England 2016/17




Thibaut Curtois msimu huu ameambulia clean sheet 16 Kwenye mashindano yote Huku akiokoa michomo 88.




No comments:

Post a Comment