Inaelezwa kwamba klabu hizo zimefikia makubaliano ya nyota huyo anayecheza nafasi ya winga wa kulia kuigharimu Chelsea dau la euro milioni 45.
Kwa mujibu wa vyanzo kadhaa na vinavyoaminika inaelezwa kwamba klabu ya Chelsea imefikia makubaliano na klabu ya Ajax ya nchini Uholanzi juu ya usajili wa nyota, Hakim Ziyech.
No comments:
Post a Comment