Taarifa hizo zinaihusisha Chelsea kwamba ipo tayari kulipa kiasi cha pesa pamoja na kumtoa mchezaji mmoja ambapo anatajwa ni kati ya Marcos Alonso ama Emerson Palmieri ili kumsajili mshambuliaji huyo raia wa Argentina.
Kuna taarifa zimeripotiwa na gazeti la Calciomercato la nchini Italia ambalo limeripoti kwamba Chelsea inamfukuzia mshambuliaji nyota, Lautaro Martinez wa klabu ya Inter Milan inayofundishwa na kocha wa zamani wa Chelsea, Antonio Conte.
No comments:
Post a Comment