Chelsea inatajwa kuongoza orodha kati ya klabu zinazowania saini ya nyota huyo ambaye anatajwa kufikia thamani ya paundi milioni 50.
Taarifa kutoka vyombo kadhaa vinaripoti kwamba mlinda mlango wa Ajax, Andre Onana ambaye ni raia wa nchini Cameroon anataka kuondoka klabuni hapo huku chaguo lake kubwa likitajwa kutaka kutua kwenye ligi kuu Uingereza.
Chelsea ifanye haraka kwa Onana
ReplyDelete