Nyota huyo raia wa Scotland amepandishwa rasmi uku ikithibitishwa na yeye mwenyewe akisema kocha Frank Lampard alimwambia likizo ya ligi kuu Uingereza ya kipindi cha baridi itakapoisha atakuwa sehemu ya timu ya wakubwa.
"Kwenye mechi ya ugenini dhidi ya Leicester, nilijumuishwa kwenye kikosi ingawa sikupata nafasi, kocha Frank Lampard aliniita na kuniambia baada ya likizo ya majira ya baridi nitakuwa sehemu ya kikosi cha wakubwa." amethibitisha kinda huyo.
No comments:
Post a Comment