MOURINHO AITISHA CHELSEA KWA HAZARD - Darajani 1905

MOURINHO AITISHA CHELSEA KWA HAZARD

Share This
Kocha wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho aijia juu klabu ya Chelsea mara baada ya kutishia kutaka kumsajili nyota wa klabu yetu ya Chelsea, Eden Hazard ambapo klabu ya Manchester united ambayo ndiyo kocha huyo anaifundisha imeandaa kiasi cha paundi milioni 90 ili imsajili raia huyo wa Ubelgiji.

Hazard amekuwa akihusishwa pia na klabu kama Real Madrid ambapo kocha wa klabu hiyo ya jijini Madrid, Zinedine Zidane ana mpango wa kumsajili nyota huyo ambaye amemfanya kama chaguo lake la kwanza katika dirisha dogo la usajili.

No comments:

Post a Comment