Chelsea inashuka uwanjani jioni ya leo ya raundi ya 23 ya ligi kuu Uingereza ambapo Chelsea itauwa nyumbani kupambana na klabu ya Leicester city ambayo inashika nafasi ya nane katika msimamo wa ligi kuu Uingereza huku Chelsea ikishhika nafasi ya tatu ikiwa na alama 49.
Hapa nimekuletea kikosi kamili cha nChelsea ambacho kitakuwa pale Darajani kupambana ili kupata alama tatu muhimu ambapo kama ikishinda itapanda mpaka nafasi ya pili na kuishusha Manyumbu(Man utd):
Kikosi cha Chelsea;
Kipa; Thibaut Courtois
Walinzi; Cesar Azpilicueta, Gary Cahill (C) na Antonio Rudiger
Viungo; Victor Moses, Tiemoue Bakayoko, Cesc Fabregas, N'Golo Kante na Marcos Alonso
Washambuliaji; Eden Hazard na Alvaro Morata
Wachezaji wa akiba; Willy Caballero, Andreas Christensen, David Luiz, Zappacosta, Willian, Pedro na Michy Batshuayi
Mfumo utakaotumika, ni kama wa mchezo uliopita wa 3-5-2
PL; KIKOSI CHA CHELSEA vs LEICESTER
Share This
Tags
# Chelsea HD
Share This
About Darajani 1905
Chelsea HD
Labels:
Chelsea HD
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment