Mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye viwanja vya mazoezi vya Cobham ilimpa nafasi Loftus-Cheek kucheza mechi ya kujiweka sawa na kuwaongoza kikosi cha vijana cha Chelsea kucheza dhidi ya Brentford B kwenye mchezo wa kufungwa geti (mashabiki hawakuruhusiwa kuingia) ambapo uliisha kwa Chelsea kupoteza 2-0.
Loftus-Cheek alicheza kwa dakika 60, zikiwa ni dakika zake za kwanza uwanjani toka alipoumia miezi tisa iliyopita.
No comments:
Post a Comment